1 Wafalme 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Yehova akatokeza mtu wa kumpinga Sulemani,+ yaani, Hadadi Mwedomu, wa ukoo wa kifalme wa Edomu.+ 2 Mambo ya Nyakati 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Yehova akawaleta wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru ili wawashambulie, nao wakamkamata Manase kwa kulabu* na kumfunga kwa pingu mbili za shaba na kumpeleka Babiloni. Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha! Mwashuru,+Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!
14 Ndipo Yehova akatokeza mtu wa kumpinga Sulemani,+ yaani, Hadadi Mwedomu, wa ukoo wa kifalme wa Edomu.+
11 Kwa hiyo Yehova akawaleta wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru ili wawashambulie, nao wakamkamata Manase kwa kulabu* na kumfunga kwa pingu mbili za shaba na kumpeleka Babiloni.
5 “Aha! Mwashuru,+Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!