1 Wafalme 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Yehova akaanza kusimamisha mtu wa kumpinga+ Sulemani,+ yaani, Hadadi, Mwedomu, wa uzao wa mfalme. Yeye alikuwa katika Edomu.+
14 Na Yehova akaanza kusimamisha mtu wa kumpinga+ Sulemani,+ yaani, Hadadi, Mwedomu, wa uzao wa mfalme. Yeye alikuwa katika Edomu.+