14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
Kwa kiongozi juu ya Yungiyungi la Kikumbusho. Miktamu. Ya Daudi. Kwa ajili ya kufundishia.+ Wakati alipopambana na Aram-naharaimu na Aram-Soba, naye Yoabu akarudi na kupiga Edomu katika Bonde la Chumvi, naam, watu kumi na mbili elfu.+