Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na vikundi viwili vya mataifa vitatenganishwa kutoka tumboni mwako;+ na kikundi kimoja cha taifa kitakuwa chenye nguvu kuliko kile kingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+

  • Mwanzo 27:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Vikundi vya watu na vikutumikie na vikundi vya mataifa vikuinamie.+ Uwe bwana wa ndugu zako, na wana wa mama yako na wakuinamie.+ Na alaaniwe kila mmoja wa wale wanaokulaani, na abarikiwe kila mmoja wa wale wanaokubariki.”+

  • Mwanzo 27:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini Isaka akamjibu Esau na kuendelea kusema: “Tazama nimemweka awe bwana juu yako,+ na ndugu zake wote nimempa kuwa watumishi,+ na nafaka na divai mpya nimetoa ili kumtegemeza,+ basi liko wapi lolote ninaloweza kukufanyia, mwanangu?”

  • Hesabu 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Edomu itakuwa miliki,+

      Naam, Seiri+ itakuwa miliki ya adui zake,+

      Huku Israeli akionyesha uhodari wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki