23 Naye Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na vikundi viwili vya mataifa vitatenganishwa kutoka tumboni mwako;+ na kikundi kimoja cha taifa kitakuwa chenye nguvu kuliko kile kingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+
29 Vikundi vya watu na vikutumikie na vikundi vya mataifa vikuinamie.+ Uwe bwana wa ndugu zako, na wana wa mama yako na wakuinamie.+ Na alaaniwe kila mmoja wa wale wanaokulaani, na abarikiwe kila mmoja wa wale wanaokubariki.”+
37 Lakini Isaka akamjibu Esau na kuendelea kusema: “Tazama nimemweka awe bwana juu yako,+ na ndugu zake wote nimempa kuwa watumishi,+ na nafaka na divai mpya nimetoa ili kumtegemeza,+ basi liko wapi lolote ninaloweza kukufanyia, mwanangu?”