Mwanzo 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na vikundi viwili vya mataifa vitatenganishwa kutoka tumboni mwako;+ na kikundi kimoja cha taifa kitakuwa chenye nguvu kuliko kile kingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+ Mwanzo 49:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+
23 Naye Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na vikundi viwili vya mataifa vitatenganishwa kutoka tumboni mwako;+ na kikundi kimoja cha taifa kitakuwa chenye nguvu kuliko kile kingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+
8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+