23 Naye Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na vikundi viwili vya mataifa vitatenganishwa kutoka tumboni mwako;+ na kikundi kimoja cha taifa kitakuwa chenye nguvu kuliko kile kingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+
29 Vikundi vya watu na vikutumikie na vikundi vya mataifa vikuinamie.+ Uwe bwana wa ndugu zako, na wana wa mama yako na wakuinamie.+ Na alaaniwe kila mmoja wa wale wanaokulaani, na abarikiwe kila mmoja wa wale wanaokubariki.”+