Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+

  • Mwanzo 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Mungu Mweza-Yote atakubariki na kukufanya uzae na kukuzidisha, nawe utakuwa kutaniko la vikundi vya watu.+

  • Mwanzo 31:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+

  • Hesabu 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Aliinama chini, akalala kama simba,

      Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+

      Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+

      Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+

  • Ezekieli 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Edomu ametenda kwa kulipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda nao waliendelea kufanya kosa kwa kadiri kubwa na kujilipizia kisasi juu yao,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki