Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kwa mara nyingine tena Waedomu+ wakaingia na kuwapiga Yuda na kuchukua mateka.

  • Zaburi 137:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ukumbuke,+ Ee Yehova, juu ya wana wa Edomu+ siku ya Yerusalemu,+

      Waliokuwa wakisema: “Lifanye ukiwa! Lifanye ukiwa mpaka kwenye msingi ulio ndani yake!”+

  • Maombolezo 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kosa lako, Ee binti Sayuni, limefikia mwisho wake.+ Hatakupeleka tena uhamishoni.+

      Amegeuza fikira zake kwa kosa lako, Ee binti Edomu. Amefunua dhambi zako.+

  • Amosi 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu alimfuatilia ndugu yake mwenyewe kwa upanga,+ na kwa sababu aliharibu sifa zake mwenyewe za rehema,+ na hasira yake huendelea kurarua milele, na ghadhabu yake—ameishika daima.+

  • Obadia 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ya jeuri uliyomtendea ndugu yako Yakobo,+ aibu itakufunika,+ nawe utakatiliwa mbali mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki