Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Wakati wote huo walipoiacha nchi na ilipokuwa ikilipa sabato zake+ huku ikikaa ukiwa bila wao, nao wenyewe walikuwa wakilipia kosa lao,+ kwa sababu, naam kwa sababu, walikuwa wameyakataa maamuzi yangu ya hukumu,+ nazo nafsi zao zilikuwa zimechukia sheria zangu.+

  • Isaya 40:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Semeni na moyo wa Yerusalemu+ na kumwambia kwamba utumishi wake wa kijeshi umetimizwa,+ kwamba kosa lake limelipwa.+ Kwa maana kutoka mkononi mwa Yehova amepokea hesabu kamili kwa ajili ya dhambi zake zote.”+

  • Yeremia 50:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Na katika siku hizo na katika wakati huo,”+ asema Yehova, “kosa la Israeli litatafutwa,+ lakini halitakuwapo; na dhambi za Yuda,+ nazo hazitapatikana, kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki