2 Mambo ya Nyakati 30:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Tena Hezekia akasema kwa moyo+ wa Walawi wote waliokuwa wakitenda kwa busara njema kumwelekea Yehova.+ Nao wakala sherehe rasmi kwa siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kuungama+ kwa Yehova Mungu wa mababu zao. Hosea 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “ ‘Kwa sababu hiyo ninamshawishi mwanamke huyu, nami nitamfanya aende nyikani,+ na nitasema kwa kufikia moyo wake.+
22 Tena Hezekia akasema kwa moyo+ wa Walawi wote waliokuwa wakitenda kwa busara njema kumwelekea Yehova.+ Nao wakala sherehe rasmi kwa siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kuungama+ kwa Yehova Mungu wa mababu zao.
14 “ ‘Kwa sababu hiyo ninamshawishi mwanamke huyu, nami nitamfanya aende nyikani,+ na nitasema kwa kufikia moyo wake.+