2 Mambo ya Nyakati 30:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Zaidi ya hayo, Hezekia alizungumza na Walawi wote waliokuwa wakimtumikia Yehova kwa busara, akawatia moyo.* Nao wakala katika kipindi chote cha sherehe hiyo ya siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kumshukuru Yehova Mungu wa mababu zao.
22 Zaidi ya hayo, Hezekia alizungumza na Walawi wote waliokuwa wakimtumikia Yehova kwa busara, akawatia moyo.* Nao wakala katika kipindi chote cha sherehe hiyo ya siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kumshukuru Yehova Mungu wa mababu zao.