2 Mambo ya Nyakati 30:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Tena Hezekia akasema kwa moyo+ wa Walawi wote waliokuwa wakitenda kwa busara njema kumwelekea Yehova.+ Nao wakala sherehe rasmi kwa siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kuungama+ kwa Yehova Mungu wa mababu zao.
22 Tena Hezekia akasema kwa moyo+ wa Walawi wote waliokuwa wakitenda kwa busara njema kumwelekea Yehova.+ Nao wakala sherehe rasmi kwa siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kuungama+ kwa Yehova Mungu wa mababu zao.