Mambo ya Walawi 26:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+ Ezra 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na sasa ungameni+ kwa Yehova Mungu wa mababu zenu na kufanya mapenzi yake+ na kujitenga na vikundi vya watu wa nchi hii na wake wa kigeni.”+
40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+
11 Na sasa ungameni+ kwa Yehova Mungu wa mababu zenu na kufanya mapenzi yake+ na kujitenga na vikundi vya watu wa nchi hii na wake wa kigeni.”+