Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Yehova amesema hivi: “Shikeni haki,+ na mfanye yaliyo ya uadilifu.+ Kwa maana wokovu wangu unakaribia kuingia,+ na uadilifu wangu kufunuliwa.+

  • Wakolosai 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ili mtembee kwa kumstahili+ Yehova+ kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema+ na kuongezeka katika ujuzi sahihi+ wa Mungu,

  • Waebrania 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 na awape ninyi vifaa vyema vya kila namna ili kufanya mapenzi yake, akifanya katika sisi kupitia Yesu Kristo lile ambalo linapendeza vema machoni pake;+ ambaye kwake kuwe na utukufu milele na milele.+ Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki