1 Wafalme 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Watu wako Israeli wakishindwa mbele ya adui,+ kwa sababu walizidi kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli warudi kwako+ na kulisifu jina lako+ na kusali+ na kutoa ombi la kutaka kibali kwako katika nyumba hii,+ Nehemia 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+ Danieli 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+
33 “Watu wako Israeli wakishindwa mbele ya adui,+ kwa sababu walizidi kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli warudi kwako+ na kulisifu jina lako+ na kusali+ na kutoa ombi la kutaka kibali kwako katika nyumba hii,+
2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+
5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+