Yeremia 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ila uangalie tu kosa lako, kwa maana umemkosea Yehova Mungu wako.+ Nawe umeendelea kutawanya njia zako kwa wageni+ chini ya kila mti wenye majani mengi,+ lakini ninyi hamkuisikiliza sauti yangu,” asema Yehova.’” Danieli 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Ee Yehova, kwetu sisi kuna aibu ya uso, kwa wafalme wetu, kwa wakuu wetu na kwa mababu zetu, kwa maana tumekutendea dhambi.+
13 Ila uangalie tu kosa lako, kwa maana umemkosea Yehova Mungu wako.+ Nawe umeendelea kutawanya njia zako kwa wageni+ chini ya kila mti wenye majani mengi,+ lakini ninyi hamkuisikiliza sauti yangu,” asema Yehova.’”
8 “Ee Yehova, kwetu sisi kuna aibu ya uso, kwa wafalme wetu, kwa wakuu wetu na kwa mababu zetu, kwa maana tumekutendea dhambi.+