Zaburi 106:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+Tumefanya kosa; tumetenda kwa uovu.+ Yeremia 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tunakubali, Ee Yehova, uovu wetu, kosa la mababu zetu,+ kwa maana tumekutendea dhambi.+ Maombolezo 3:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 “Sisi wenyewe tumekosa, nasi tumejiendesha kwa uasi.+ Wewe mwenyewe hukusamehe.+