Nehemia 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+ Isaya 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+ Danieli 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+
26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+
2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+
5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+