2 Wafalme 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi. Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+
11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.
38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+