Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia+ aliyokuwa amemwaga, hivi kwamba akalijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia, na Yehova hakukubali kutoa msamaha.+

  • Ezekieli 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘Kulikuwa na mwenendo mpotovu katika uchafu wako.+ Kwa sababu hiyo nililazimika kukusafisha, lakini hukuwa safi kutokana na uchafu wako.+ Hutakuwa safi tena mpaka nitakapoituliza ghadhabu yangu kwako.+

  • Danieli 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki