Yeremia 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Yehova akaniambia: “Msiba utafunguliwa kutoka kaskazini juu ya wakaaji wote wa nchi.+ Yeremia 39:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Wakaldayo wakateketeza kwa moto nyumba ya mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kuta za Yerusalemu.+
8 Na Wakaldayo wakateketeza kwa moto nyumba ya mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kuta za Yerusalemu.+