2 Wafalme 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi likazibomoa kuta za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+ Nehemia 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.” Yeremia 52:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na majeshi yote ya Wakaldayo yaliyokuwa pamoja na yule mkuu wa walinzi yakazibomoa kuta zote za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+
10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi likazibomoa kuta za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+
3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.”
14 Na majeshi yote ya Wakaldayo yaliyokuwa pamoja na yule mkuu wa walinzi yakazibomoa kuta zote za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+