Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 25:1

Marejeo

  • +Yer 39:1
  • +Eze 24:1
  • +2Fa 24:1; Yer 27:8; 32:28; 43:10; Eze 26:7; Da 4:1
  • +2Nya 36:17; Yer 34:2
  • +Isa 29:3; Yer 32:2; 37:11; 52:4; Eze 4:2; 21:22

2 Wafalme 25:3

Marejeo

  • +Yer 52:6
  • +Law 26:26; Kum 28:53, 63; Eze 4:16; 5:10
  • +Yer 37:21; 38:2; Omb 4:4; Eze 5:12; 7:15; 14:21

2 Wafalme 25:4

Marejeo

  • +Yer 39:2; 52:7; Eze 33:21
  • +Yer 39:4
  • +Yer 21:4
  • +Eze 12:12
  • +Yos 3:16

2 Wafalme 25:5

Marejeo

  • +Yer 39:5
  • +Isa 30:16; Yer 24:8
  • +Yer 52:8

2 Wafalme 25:6

Marejeo

  • +Yer 21:7
  • +2Fa 23:33; Yer 52:10, 26

2 Wafalme 25:7

Marejeo

  • +Kum 28:34; Yer 39:6
  • +Eze 12:13
  • +2Nya 33:11; 36:6
  • +Yer 32:5; 34:3; Eze 17:16

2 Wafalme 25:8

Marejeo

  • +Yer 52:12
  • +Yer 39:9; 40:1
  • +Omb 4:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2007, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/15 11

2 Wafalme 25:9

Marejeo

  • +1Fa 9:8; 2Nya 36:19; Zb 74:3; 79:1; Isa 64:11; Yer 7:14; Omb 1:10; 2:7; Mik 3:12
  • +1Fa 7:1; Amo 2:5
  • +Yer 34:22; 37:8
  • +Yer 52:13

2 Wafalme 25:10

Marejeo

  • +Ne 1:3; Yer 39:8; 52:14

2 Wafalme 25:11

Marejeo

  • +Yer 15:2; Eze 5:2
  • +Yer 39:9; 52:30; Eze 12:15; 22:15

2 Wafalme 25:12

Marejeo

  • +2Fa 24:14; Yer 39:10; 40:7
  • +Yer 52:16

2 Wafalme 25:13

Marejeo

  • +1Fa 7:15; 2Nya 4:12
  • +1Fa 7:27; 2Nya 4:14
  • +1Fa 7:23; 2Nya 4:15
  • +2Fa 20:17

2 Wafalme 25:14

Marejeo

  • +2Nya 4:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2023

2 Wafalme 25:15

Marejeo

  • +1Fa 7:50; Ezr 1:10
  • +2Nya 24:14; 36:18; Ezr 1:11; Da 5:2

2 Wafalme 25:16

Marejeo

  • +1Fa 7:47

2 Wafalme 25:17

Marejeo

  • +1Fa 7:15; Yer 52:21
  • +1Fa 7:16; Yer 52:22
  • +1Fa 7:20; Yer 52:23

2 Wafalme 25:18

Marejeo

  • +1Nya 6:14; Ezr 7:1; Yer 52:24
  • +Yer 21:1; 29:25, 29
  • +2Fa 22:4; 1Nya 26:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 1109

2 Wafalme 25:19

Marejeo

  • +Yer 52:25

2 Wafalme 25:20

Marejeo

  • +2Fa 25:8; Yer 39:9; 40:1
  • +Yer 52:26
  • +2Fa 23:33; Yer 39:5; 52:9

2 Wafalme 25:21

Marejeo

  • +Yer 52:27; Amo 3:2
  • +Hes 13:21; 34:8; 1Fa 8:65
  • +Law 26:33; Kum 4:26; 28:36, 64; 2Fa 23:27; Yer 24:9; 25:11; Eze 12:25; 24:14

2 Wafalme 25:22

Marejeo

  • +Yer 40:6
  • +2Fa 25:25; Yer 39:14; 41:2
  • +2Fa 22:12; Yer 26:24
  • +2Fa 22:8; 2Nya 34:20

2 Wafalme 25:23

Marejeo

  • +Yer 40:7
  • +Yer 40:8

2 Wafalme 25:24

Marejeo

  • +Kum 6:13; Yer 4:2; 12:16
  • +Yer 27:12; 40:9

2 Wafalme 25:25

Marejeo

  • +Yer 41:1
  • +Yer 40:15
  • +Yer 41:2
  • +Yer 41:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 285

2 Wafalme 25:26

Marejeo

  • +Kum 28:68; Yer 41:17; 42:14; 43:7
  • +Yer 41:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 285

2 Wafalme 25:27

Marejeo

  • +2Fa 24:8, 12; Yer 24:1; 37:1; Mt 1:11
  • +Met 21:1; Yer 52:31
  • +Mwa 40:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 5

    “Kila Andiko,” uku. 69

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 5

2 Wafalme 25:28

Marejeo

  • +Zb 90:15; Yer 52:32

2 Wafalme 25:29

Marejeo

  • +Mwa 41:14, 42
  • +2Sa 9:7

2 Wafalme 25:30

Marejeo

  • +Ne 11:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Neno la Mungu, uku. 48

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, kur. 29-30

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 25:1Yer 39:1
2 Fal. 25:1Eze 24:1
2 Fal. 25:12Fa 24:1; Yer 27:8; 32:28; 43:10; Eze 26:7; Da 4:1
2 Fal. 25:12Nya 36:17; Yer 34:2
2 Fal. 25:1Isa 29:3; Yer 32:2; 37:11; 52:4; Eze 4:2; 21:22
2 Fal. 25:3Yer 52:6
2 Fal. 25:3Law 26:26; Kum 28:53, 63; Eze 4:16; 5:10
2 Fal. 25:3Yer 37:21; 38:2; Omb 4:4; Eze 5:12; 7:15; 14:21
2 Fal. 25:4Yer 39:2; 52:7; Eze 33:21
2 Fal. 25:4Yer 39:4
2 Fal. 25:4Yer 21:4
2 Fal. 25:4Eze 12:12
2 Fal. 25:4Yos 3:16
2 Fal. 25:5Yer 39:5
2 Fal. 25:5Isa 30:16; Yer 24:8
2 Fal. 25:5Yer 52:8
2 Fal. 25:6Yer 21:7
2 Fal. 25:62Fa 23:33; Yer 52:10, 26
2 Fal. 25:7Kum 28:34; Yer 39:6
2 Fal. 25:7Eze 12:13
2 Fal. 25:72Nya 33:11; 36:6
2 Fal. 25:7Yer 32:5; 34:3; Eze 17:16
2 Fal. 25:8Yer 52:12
2 Fal. 25:8Yer 39:9; 40:1
2 Fal. 25:8Omb 4:12
2 Fal. 25:91Fa 9:8; 2Nya 36:19; Zb 74:3; 79:1; Isa 64:11; Yer 7:14; Omb 1:10; 2:7; Mik 3:12
2 Fal. 25:91Fa 7:1; Amo 2:5
2 Fal. 25:9Yer 34:22; 37:8
2 Fal. 25:9Yer 52:13
2 Fal. 25:10Ne 1:3; Yer 39:8; 52:14
2 Fal. 25:11Yer 15:2; Eze 5:2
2 Fal. 25:11Yer 39:9; 52:30; Eze 12:15; 22:15
2 Fal. 25:122Fa 24:14; Yer 39:10; 40:7
2 Fal. 25:12Yer 52:16
2 Fal. 25:131Fa 7:15; 2Nya 4:12
2 Fal. 25:131Fa 7:27; 2Nya 4:14
2 Fal. 25:131Fa 7:23; 2Nya 4:15
2 Fal. 25:132Fa 20:17
2 Fal. 25:142Nya 4:19
2 Fal. 25:151Fa 7:50; Ezr 1:10
2 Fal. 25:152Nya 24:14; 36:18; Ezr 1:11; Da 5:2
2 Fal. 25:161Fa 7:47
2 Fal. 25:171Fa 7:15; Yer 52:21
2 Fal. 25:171Fa 7:16; Yer 52:22
2 Fal. 25:171Fa 7:20; Yer 52:23
2 Fal. 25:181Nya 6:14; Ezr 7:1; Yer 52:24
2 Fal. 25:18Yer 21:1; 29:25, 29
2 Fal. 25:182Fa 22:4; 1Nya 26:12
2 Fal. 25:19Yer 52:25
2 Fal. 25:202Fa 25:8; Yer 39:9; 40:1
2 Fal. 25:20Yer 52:26
2 Fal. 25:202Fa 23:33; Yer 39:5; 52:9
2 Fal. 25:21Yer 52:27; Amo 3:2
2 Fal. 25:21Hes 13:21; 34:8; 1Fa 8:65
2 Fal. 25:21Law 26:33; Kum 4:26; 28:36, 64; 2Fa 23:27; Yer 24:9; 25:11; Eze 12:25; 24:14
2 Fal. 25:22Yer 40:6
2 Fal. 25:222Fa 25:25; Yer 39:14; 41:2
2 Fal. 25:222Fa 22:12; Yer 26:24
2 Fal. 25:222Fa 22:8; 2Nya 34:20
2 Fal. 25:23Yer 40:7
2 Fal. 25:23Yer 40:8
2 Fal. 25:24Kum 6:13; Yer 4:2; 12:16
2 Fal. 25:24Yer 27:12; 40:9
2 Fal. 25:25Yer 41:1
2 Fal. 25:25Yer 40:15
2 Fal. 25:25Yer 41:2
2 Fal. 25:25Yer 41:16
2 Fal. 25:26Kum 28:68; Yer 41:17; 42:14; 43:7
2 Fal. 25:26Yer 41:18
2 Fal. 25:272Fa 24:8, 12; Yer 24:1; 37:1; Mt 1:11
2 Fal. 25:27Met 21:1; Yer 52:31
2 Fal. 25:27Mwa 40:13
2 Fal. 25:28Zb 90:15; Yer 52:32
2 Fal. 25:29Mwa 41:14, 42
2 Fal. 25:292Sa 9:7
2 Fal. 25:30Ne 11:23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 25:1-30

2 Wafalme

25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tisa+ wa kuwa kwake mfalme, katika mwezi wa kumi,+ siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akaja,+ ndiyo, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu, akaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kulizingira pande zote.+ 2 Na jiji likazingirwa mpaka mwaka wa kumi na moja wa Mfalme Sedekia. 3 Katika siku ya tisa+ ya mwezi wa nne njaa+ ilikuwa kali ndani ya jiji, na hapakuwa na mkate+ kwa ajili ya watu wa nchi. 4 Na jiji likabomolewa,+ na watu wote wa vita wakakimbia wakati wa usiku kupitia njia ya lango lililo kati ya zile kuta mbili kando ya bustani ya mfalme,+ huku Wakaldayo+ wakiwa wamelizunguka jiji pande zote; naye mfalme akaanza kwenda+ kuelekea upande wa Araba.+ 5 Na jeshi la Wakaldayo+ likamfuatilia mfalme, nao wakamfikia+ katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko;+ na jeshi lake lote likatawanyika kutoka upande wake. 6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake. 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+

8 Na katika mwezi wa tano, siku ya saba ya mwezi huo, yaani, mwaka wa kumi na tisa+ wa Mfalme Nebukadneza mfalme wa Babiloni, Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi, mtumishi wa mfalme wa Babiloni, aliingia ndani ya Yerusalemu.+ 9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+ 10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi likazibomoa kuta za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+ 11 Na wale watu wengine+ walioachwa nyuma katika jiji na wale waliokimbia, wakamwendea mfalme wa Babiloni na ule umati mwingine, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+ 12 Na wengine kati ya watu wa hali ya chini+ wa nchi, yule mkuu wa walinzi akawaacha wabaki wakiwa watunza-mizabibu na wafanyakazi wa kulazimishwa.+ 13 Na zile nguzo+ za shaba zilizokuwa katika nyumba ya Yehova, na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakavivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake kuipeleka Babiloni.+ 14 Nao wakachukua makopo na sepetu na mikasi ya taa na vikombe na vyombo+ vyote vya shaba walivyokuwa wakitumia kuhudumu. 15 Na mkuu wa walinzi akachukua vyetezo na mabakuli yaliyokuwa ya dhahabu+ halisi na yale yaliyokuwa ya fedha halisi.+ 16 Kwa habari ya zile nguzo mbili, ile bahari moja na yale mabehewa ambayo Sulemani alikuwa ametengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yehova, hapakuwa na namna ya kujua uzito wa shaba ya vyombo hivyo vyote.+ 17 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa mikono kumi na minane,+ na lile kombe+ juu yake lilikuwa la shaba; na urefu wa lile kombe ulikuwa mikono mitatu; na kamba za nyavu na makomamanga+ kuzunguka pande zote juu ya lile kombe, hivyo vyote, vilikuwa shaba; na nguzo ya pili ilikuwa vivyo hivyo juu ya zile kamba za nyavu.

18 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na watunza-milango+ watatu; 19 naye akachukua kutoka jijini ofisa mmoja wa makao ya mfalme ambaye alikuwa na amri juu ya watu wa vita, na watu 5 kutoka kwa wale wenye kuingia kwa mfalme waliopatikana jijini; na mwandishi wa mkuu wa jeshi, mwenye kuwakusanya watu wa nchi, na watu 60 kati ya watu wa nchi waliopatikana katika jiji;+ 20 kisha Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi akawachukua,+ na kuwapeleka kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla.+ 21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+

22 Kwa habari ya wale watu+ walioachwa nyuma katika nchi ya Yuda, ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa ameacha, akaweka juu yao Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani.+ 23 Wakati wakuu wote wa majeshi,+ wao pamoja na watu wao, waliposikia kwamba mfalme wa Babiloni amemchagua Gedalia, wakamwendea mara moja Gedalia kule Mispa,+ yaani, Ishmaeli mwana wa Nethania na Yohanani mwana wa Karea na Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofa, na Yaazania mwana wa yule Mmaakathi, wao pamoja na watu wao. 24 Ndipo Gedalia akawaapia+ wao pamoja na watu wao, akawaambia: “Msiogope kuwa watumishi wa Wakaldayo. Kaeni katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babiloni, na itakuwa vema kwenu.”+

25 Na ikawa kwamba katika mwezi wa saba,+ Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama wa uzao wa kifalme akaja, na pia watu kumi pamoja naye, nao wakampiga Gedalia,+ akafa, na pia wale Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye katika Mispa.+ 26 Ndipo watu wote, kuanzia mdogo mpaka mkubwa, na wakuu wa majeshi wakaondoka, wakaingia Misri;+ kwa maana waliogopa kwa sababu ya Wakaldayo.+

27 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 37 wa uhamisho wa Yehoyakini+ mfalme wa Yuda, katika mwezi wa 12, siku ya 27 ya mwezi huo, Evil-merodaki+ mfalme wa Babiloni, katika mwaka wa kuwa kwake mfalme, akakiinua kichwa+ cha Yehoyakini mfalme wa Yuda kutoka katika nyumba ya kifungo; 28 naye akaanza kusema naye mambo mema, kisha akakiweka kiti chake cha ufalme juu zaidi ya vile viti vya wafalme waliokuwa pamoja naye katika Babiloni.+ 29 Naye akamvua mavazi yake ya gerezani;+ naye akala mkate+ daima mbele yake siku zote za maisha yake. 30 Nayo posho+ yake, alipewa posho daima kutoka kwa mfalme, kila siku kama inavyostahili, siku zote za maisha yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki