16 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, tazama, ninavunja fimbo ambazo mikate ya mviringo huning’inizwa,+ katika Yerusalemu, nao watalazimika kula mkate wao kulingana na kipimo na kwa hangaiko zito,+ nao watakunywa maji kulingana na kipimo na kwa tisho,+