Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na mtu atakata upande wa kuume naye hakika atakuwa na njaa, na mtu atakula upande wa kushoto, nao hakika hawatashiba.+ Kila mmoja wao atakula nyama ya mkono wake mwenyewe,+

  • Mika 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nawe utakula wala hutashiba, nawe utakuwa na njaa.+ Nawe utaondoa vitu, lakini hutavichukua na kuvipeleka salama; na chochote ambacho utachukua na kukipeleka salama, nitakitoa kwa upanga.+

  • Hagai 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mavuno ni kidogo.+ Mnakula chakula, lakini hamshibi.+ Mnakunywa, lakini hamlewi. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto; na yeye anayeajiriwa, anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matundu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki