6 Usiruhusu kinywa chako kiufanye mwili wako utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika+ kwamba lilikuwa kosa.+ Kwa nini Mungu wa kweli akasirike kwa sababu ya sauti yako na kuiharibu kazi ya mikono yako?+
2 Mnatamani, na bado hamna kitu. Mnaendelea kuua+ na kutamani+ kwa wivu, na bado hamwezi kupata. Mnaendelea kupigana+ na kufanya vita. Hamna kitu kwa sababu hamwombi.