35 Na ikawa kwamba alipomwona, akaanza kuyararua mavazi+ yake na kusema: “Ole, binti yangu! Kwa kweli umenifanya niiname chini, nawe mwenyewe umekuwa ndiye yule ambaye nilikuwa nikitenga. Mimi nimemfungulia Yehova kinywa changu, nami siwezi kurudi nyuma.”+