Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+

      Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+

      Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+

      Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+

  • Methali 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+

  • Methali 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+

  • 1 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki