Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Moyo wangu umesisimuka kwa sababu ya jambo jema.+

      Ninasema: “Kazi zangu zinamhusu mfalme.”+

      Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mwandikaji stadi.+

  • Methali 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Moyo wa mtu mwenye hekima hukifanya kinywa chake kionyeshe ufahamu,+ na kwenye midomo yake huongeza ushawishi.+

  • Mhubiri 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+

  • Isaya 50:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+

  • Yohana 7:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Wale maofisa wakajibu: “Mtu mwingine hajapata kamwe kusema kama huyu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki