Zaburi 45:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Moyo wangu umesisimuka kwa sababu ya jambo jema.+Ninasema: “Kazi zangu zinamhusu mfalme.”+Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mwandikaji stadi.+ Methali 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Moyo wa mtu mwenye hekima hukifanya kinywa chake kionyeshe ufahamu,+ na kwenye midomo yake huongeza ushawishi.+ Mhubiri 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+ Isaya 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+ Yohana 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Wale maofisa wakajibu: “Mtu mwingine hajapata kamwe kusema kama huyu.”+
45 Moyo wangu umesisimuka kwa sababu ya jambo jema.+Ninasema: “Kazi zangu zinamhusu mfalme.”+Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mwandikaji stadi.+
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hukifanya kinywa chake kionyeshe ufahamu,+ na kwenye midomo yake huongeza ushawishi.+
4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+