Zaburi 64:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wanasababisha mtu ajikwae.+Lakini ulimi wao huwapinga wao wenyewe.+Wote wanaowatazama watatikisa kichwa chao,+ Methali 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wenye hekima ndio wanaoweka hazina ya ujuzi,+ lakini kinywa cha mpumbavu kinakaribia uharibifu wenyewe.+ Methali 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Fimbo ya majivuno imo katika kinywa cha mpumbavu,+ lakini midomo ya wenye hekima itawalinda.+
8 Nao wanasababisha mtu ajikwae.+Lakini ulimi wao huwapinga wao wenyewe.+Wote wanaowatazama watatikisa kichwa chao,+
14 Wenye hekima ndio wanaoweka hazina ya ujuzi,+ lakini kinywa cha mpumbavu kinakaribia uharibifu wenyewe.+