Methali 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya waovu ni uviziaji kwa ajili ya kumwaga damu,+ lakini kinywa cha wanyoofu ndicho kitakachowakomboa.+ Waroma 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kwa moyo+ mtu huonyesha imani kwa ajili ya uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani+ kwa ajili ya wokovu.
6 Maneno ya waovu ni uviziaji kwa ajili ya kumwaga damu,+ lakini kinywa cha wanyoofu ndicho kitakachowakomboa.+
10 Kwa maana kwa moyo+ mtu huonyesha imani kwa ajili ya uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani+ kwa ajili ya wokovu.