2 Wakorintho 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi kwa sababu tuna roho ileile ya imani kama ile ambayo imeandikwa hivi juu yake: “Mimi nilionyesha imani, kwa hiyo nikasema,”+ sisi pia tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema, Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
13 Basi kwa sababu tuna roho ileile ya imani kama ile ambayo imeandikwa hivi juu yake: “Mimi nilionyesha imani, kwa hiyo nikasema,”+ sisi pia tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema,
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+