2 Samweli 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Tafadhali, acha nichague watu kumi na mbili elfu, niondoke na kumfuatilia Daudi usiku wa leo.+ Zaburi 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+ Mika 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+ Matendo 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa kulipokuwa mchana, Wayahudi wakafanya hila+ na kujifunga wenyewe kwa laana,+ wakisema hawangekula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo.+
17 Naye Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Tafadhali, acha nichague watu kumi na mbili elfu, niondoke na kumfuatilia Daudi usiku wa leo.+
9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+
2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+
12 Sasa kulipokuwa mchana, Wayahudi wakafanya hila+ na kujifunga wenyewe kwa laana,+ wakisema hawangekula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo.+