Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 17:1

Marejeo

  • +Met 1:16; 4:16

2 Samweli 17:2

Marejeo

  • +Kum 25:18; 2Sa 16:14
  • +1Fa 22:31; Zb 37:12; 41:9; 55:12

2 Samweli 17:4

Marejeo

  • +Mt 15:4; 2Ti 3:3

2 Samweli 17:5

Marejeo

  • +2Sa 15:32; 16:16

2 Samweli 17:7

Marejeo

  • +2Sa 15:34

2 Samweli 17:8

Marejeo

  • +1Sa 16:18; 2Sa 15:18; 23:8, 18; 1Nya 11:26
  • +Amu 18:25
  • +2Fa 2:24; Met 17:12; Ho. 13:8
  • +1Sa 17:50; 18:7; 19:8; 2Sa 10:18

2 Samweli 17:9

Marejeo

  • +1Sa 22:1; 23:19

2 Samweli 17:10

Marejeo

  • +Mwa 49:9; Hes 24:9; 2Sa 1:23; Isa 31:4
  • +Kum 1:28; Yos 2:9; 7:5; 1Sa 17:11
  • +1Sa 18:5; Ebr 11:34
  • +2Sa 17:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1996, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 7/15 32

2 Samweli 17:11

Marejeo

  • +Amu 20:1
  • +Mwa 32:12; 1Fa 4:20
  • +Zb 7:15; 9:16

2 Samweli 17:12

Marejeo

  • +1Sa 23:23; 2Sa 17:9
  • +Zb 110:3

2 Samweli 17:13

Marejeo

  • +Mt 24:2

2 Samweli 17:14

Marejeo

  • +Met 21:1
  • +Kum 2:30; 2Nya 25:20; Zb 91:11
  • +2Sa 15:31, 34; Ayu 5:12; Met 19:21; 21:30; Isa 8:10; 1Ko 3:19
  • +2Sa 16:23
  • +1Sa 2:6; Ayu 34:11; Isa 46:10

2 Samweli 17:15

Marejeo

  • +2Sa 8:17; 15:35; 1Nya 12:28

2 Samweli 17:16

Marejeo

  • +2Sa 15:28
  • +2Sa 15:14
  • +2Sa 20:19; Zb 35:25

2 Samweli 17:17

Marejeo

  • +2Sa 15:27; 1Fa 1:42
  • +2Sa 15:36; 18:19
  • +Yos 15:7; 18:16; 1Fa 1:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Nchi Nzuri’, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    gl 20-21

2 Samweli 17:18

Marejeo

  • +2Sa 3:16; 16:5; 19:16

2 Samweli 17:19

Marejeo

  • +Yos 2:6

2 Samweli 17:20

Marejeo

  • +Kut 1:19; Yos 2:5; 1Sa 19:14; 21:2; Mt 10:16
  • +Yos 2:22

2 Samweli 17:21

Marejeo

  • +2Sa 17:2

2 Samweli 17:22

Marejeo

  • +Met 27:12

2 Samweli 17:23

Marejeo

  • +Met 16:18
  • +Yos 15:51; 2Sa 15:12
  • +2Fa 20:1
  • +Kut 20:13; 1Sa 31:4; 1Fa 16:18; Mt 27:5; Mdo 1:18
  • +Zb 5:10; 55:23
  • +Mhu 8:10

2 Samweli 17:24

Marejeo

  • +Mwa 32:2; Yos 13:26; 2Sa 2:8

2 Samweli 17:25

Marejeo

  • +2Sa 19:13; 20:4, 10
  • +2Sa 8:16
  • +1Nya 2:17
  • +1Nya 2:16

2 Samweli 17:26

Marejeo

  • +Hes 32:1; Kum 3:15

2 Samweli 17:27

Marejeo

  • +Kum 3:11; Yos 13:25; 2Sa 12:29
  • +2Sa 12:26
  • +2Sa 9:4
  • +2Sa 9:5
  • +2Sa 19:32; 1Fa 2:7
  • +2Sa 19:31

2 Samweli 17:28

Marejeo

  • +Mwa 18:6; 1Sa 28:24
  • +1Sa 25:18
  • +Eze 4:9
  • +Mwa 25:34; 2Sa 23:11

2 Samweli 17:29

Marejeo

  • +Kut 3:8
  • +Mwa 18:8; Met 30:33
  • +Met 11:25; Mdo 28:2
  • +2Sa 16:2

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 17:1Met 1:16; 4:16
2 Sam. 17:2Kum 25:18; 2Sa 16:14
2 Sam. 17:21Fa 22:31; Zb 37:12; 41:9; 55:12
2 Sam. 17:4Mt 15:4; 2Ti 3:3
2 Sam. 17:52Sa 15:32; 16:16
2 Sam. 17:72Sa 15:34
2 Sam. 17:81Sa 16:18; 2Sa 15:18; 23:8, 18; 1Nya 11:26
2 Sam. 17:8Amu 18:25
2 Sam. 17:82Fa 2:24; Met 17:12; Ho. 13:8
2 Sam. 17:81Sa 17:50; 18:7; 19:8; 2Sa 10:18
2 Sam. 17:91Sa 22:1; 23:19
2 Sam. 17:10Mwa 49:9; Hes 24:9; 2Sa 1:23; Isa 31:4
2 Sam. 17:10Kum 1:28; Yos 2:9; 7:5; 1Sa 17:11
2 Sam. 17:101Sa 18:5; Ebr 11:34
2 Sam. 17:102Sa 17:8
2 Sam. 17:11Amu 20:1
2 Sam. 17:11Mwa 32:12; 1Fa 4:20
2 Sam. 17:11Zb 7:15; 9:16
2 Sam. 17:121Sa 23:23; 2Sa 17:9
2 Sam. 17:12Zb 110:3
2 Sam. 17:13Mt 24:2
2 Sam. 17:14Met 21:1
2 Sam. 17:14Kum 2:30; 2Nya 25:20; Zb 91:11
2 Sam. 17:142Sa 15:31, 34; Ayu 5:12; Met 19:21; 21:30; Isa 8:10; 1Ko 3:19
2 Sam. 17:142Sa 16:23
2 Sam. 17:141Sa 2:6; Ayu 34:11; Isa 46:10
2 Sam. 17:152Sa 8:17; 15:35; 1Nya 12:28
2 Sam. 17:162Sa 15:28
2 Sam. 17:162Sa 15:14
2 Sam. 17:162Sa 20:19; Zb 35:25
2 Sam. 17:172Sa 15:27; 1Fa 1:42
2 Sam. 17:172Sa 15:36; 18:19
2 Sam. 17:17Yos 15:7; 18:16; 1Fa 1:9
2 Sam. 17:182Sa 3:16; 16:5; 19:16
2 Sam. 17:19Yos 2:6
2 Sam. 17:20Kut 1:19; Yos 2:5; 1Sa 19:14; 21:2; Mt 10:16
2 Sam. 17:20Yos 2:22
2 Sam. 17:212Sa 17:2
2 Sam. 17:22Met 27:12
2 Sam. 17:23Met 16:18
2 Sam. 17:23Yos 15:51; 2Sa 15:12
2 Sam. 17:232Fa 20:1
2 Sam. 17:23Kut 20:13; 1Sa 31:4; 1Fa 16:18; Mt 27:5; Mdo 1:18
2 Sam. 17:23Zb 5:10; 55:23
2 Sam. 17:23Mhu 8:10
2 Sam. 17:24Mwa 32:2; Yos 13:26; 2Sa 2:8
2 Sam. 17:252Sa 19:13; 20:4, 10
2 Sam. 17:252Sa 8:16
2 Sam. 17:251Nya 2:17
2 Sam. 17:251Nya 2:16
2 Sam. 17:26Hes 32:1; Kum 3:15
2 Sam. 17:27Kum 3:11; Yos 13:25; 2Sa 12:29
2 Sam. 17:272Sa 12:26
2 Sam. 17:272Sa 9:4
2 Sam. 17:272Sa 9:5
2 Sam. 17:272Sa 19:32; 1Fa 2:7
2 Sam. 17:272Sa 19:31
2 Sam. 17:28Mwa 18:6; 1Sa 28:24
2 Sam. 17:281Sa 25:18
2 Sam. 17:28Eze 4:9
2 Sam. 17:28Mwa 25:34; 2Sa 23:11
2 Sam. 17:29Kut 3:8
2 Sam. 17:29Mwa 18:8; Met 30:33
2 Sam. 17:29Met 11:25; Mdo 28:2
2 Sam. 17:292Sa 16:2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 17:1-29

2 Samweli

17 Naye Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Tafadhali, acha nichague watu kumi na mbili elfu, niondoke na kumfuatilia Daudi usiku wa leo.+ 2 Nami nitamfikia wakati yeye amechoka na mikono yake ina unyonge,+ nami nitamtetemesha; na watu wote walio pamoja naye watakimbia, nami nitampiga na kumuua mfalme akiwa peke yake.+ 3 Nami nitawarudisha kwako watu wote. Kurudi kwa watu wote kunategemea mtu unayemtafuta; na watu wote watakuwa na amani.” 4 Na neno hilo likawa sawa machoni pa Absalomu+ na machoni pa wanaume wazee wote wa Israeli.

5 Hata hivyo, Absalomu akasema: “Tafadhali, mwiteni Hushai+ Mwarki, pia, nasi tusikie maneno yaliyo kinywani mwake pia.” 6 Basi Hushai akaingia kwa Absalomu. Ndipo Absalomu akamwambia: “Ahithofeli amesema hivi na vile. Je, tutende kulingana na neno lake? Ikiwa sivyo, wewe useme.” 7 Ndipo Hushai akamwambia Absalomu: “Shauri ambalo Ahithofeli ametoa si jema wakati huu!”+

8 Na Hushai akaendelea kusema: “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba baba yako na wanaume wake ni wenye nguvu,+ nao wana uchungu wa nafsi,+ kama dubu-jike ambaye amepoteza watoto wake porini;+ na baba yako ni shujaa wa vita,+ naye hatalala usiku akiwa pamoja na watu. 9 Tazama! Sasa amejificha+ katika moja la mashimo au katika moja ya mahali penginepo; na hakika itatukia kwamba, mara atakapowaangukia mwanzoni, yeye anayesikia hayo atayasikia na kusema, ‘Watu wanaomfuata Absalomu wameshindwa!’ 10 Na hata mwanamume shujaa ambaye moyo wake ni kama moyo wa simba+ hakika atayeyuka katika udhaifu;+ kwa maana Israeli wote wanajua kwamba baba yako ni mwanamume mwenye nguvu+ na pia wale wanaume mashujaa walio pamoja naye.+ 11 Mimi natoa shauri hili: Acha Israeli wote wakusanyike kwako bila kukosa, kutoka Dani mpaka Beer-sheba,+ kama mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ nawe binafsi uende katika pigano.+ 12 Nasi tuje juu yake katika moja ya mahali ambapo atapatikana,+ nasi tutakuja juu yake kama umande+ unavyoanguka juu ya nchi; na hakika hatabaki hata mmoja kati yake na watu wote walio pamoja naye. 13 Naye akiingia ndani ya jiji fulani, Israeli wote watachukua kamba mpaka kwenye jiji hilo, nasi tutalivuta mpaka kwenye bonde la mto, lisibaki hata jiwe moja humo.”+

14 Ndipo Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Hushai Mwarki ni bora+ kuliko shauri la Ahithofeli!” Na Yehova alikuwa ametoa amri+ shauri la Ahithofeli livunjwe+ ingawa lilikuwa jema,+ ili Yehova alete msiba+ juu ya Absalomu.

15 Baadaye Hushai akamwambia Sadoki+ na Abiathari, makuhani: “Ahithofeli alimshauri Absalomu na wanaume wazee wa Israeli hivi na vile; nami nikashauri hivi na vile. 16 Na sasa tuma ujumbe haraka na umwambie Daudi,+ ukisema, ‘Usiku wa leo usilale katika nchi tambarare za jangwa la nyikani, lakini wewe pia usikose kuvuka,+ ili mfalme na watu wote walio pamoja naye wasije wakamezwa.’”+

17 Kwa kuwa Yonathani+ na Ahimaazi+ walikuwa wamesimama katika En-rogeli,+ mjakazi fulani akaenda, akawaambia. Basi wakaondoka, kwa kuwa iliwapasa kumwambia Mfalme Daudi; kwa maana haikuwezekana waonekane wakiingia jijini. 18 Hata hivyo, kijana fulani akawaona, akamwambia Absalomu. Basi hao wawili wakaenda mbio, wakaja kwenye nyumba ya mtu fulani katika Bahurimu,+ aliyekuwa na kisima katika ua wake; nao wakashuka ndani ya kisima hicho. 19 Kisha yule mwanamke akachukua kifuniko, akakitandaza juu ya uso wa kile kisima na kurundika juu yake nafaka iliyovunjwa;+ wala halikujulikana jambo lolote. 20 Sasa watumishi wa Absalomu wakaja kwa mwanamke yule nyumbani kwake na kusema: “Ahimaazi na Yonathani wako wapi?” Kwa hiyo yule mwanamke akawaambia: “Walipita hapa wakaenda kwenye maji.”+ Ndipo wakaendelea kutafuta, nao hawakuwapata,+ kisha wakarudi Yerusalemu.

21 Na ikawa kwamba baada ya kuondoka kwao, ndipo wakatoka ndani ya kile kisima, wakaenda, wakamweleza Daudi na kumwambia Daudi: “Ondokeni, vukeni juu ya maji mbiombio; kwa maana hivi ndivyo Ahithofeli alivyotoa shauri+ juu yenu.” 22 Mara moja Daudi akaondoka na pia watu wote waliokuwa pamoja naye, nao wakaendelea kuvuka Yordani mpaka kulipopambazuka asubuhi,+ mpaka kulipokuwa hakuna hata mmoja ambaye hakuwa amevuka Yordani.

23 Naye Ahithofeli akaona kwamba haikutendwa kulingana na shauri lake,+ naye akatandika punda, akaondoka na kwenda nyumbani kwake katika jiji lake.+ Kisha akawapa nyumba yake+ amri halafu akajinyonga,+ akafa.+ Basi akazikwa+ katika makaburi ya mababu zake.

24 Na Daudi akaja Mahanaimu,+ naye Absalomu akavuka Yordani, yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye. 25 Na Amasa+ ndiye ambaye Absalomu aliweka mahali pa Yoabu+ juu ya jeshi; na Amasa alikuwa mwana wa mtu ambaye jina lake lilikuwa Ithra,+ Mwisraeli, aliyelala na Abigaili,+ binti ya Nahashi, dada ya Seruya, mama ya Yoabu. 26 Na Israeli na Absalomu wakapiga kambi katika nchi ya Gileadi.+

27 Na ikawa kwamba, mara tu Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba+ la wana wa Amoni,+ na Makiri+ mwana wa Amieli+ kutoka Lo-debari, na Barzilai+ Mgileadi, kutoka Rogelimu+ 28 wakaleta vitanda na beseni na vyombo vya mfinyanzi, na ngano na shayiri na unga+ na nafaka iliyochomwa+ na maharagwe mapana+ na dengu+ na nafaka iliyokauka; 29 na asali+ na siagi+ na kondoo na maziwa ya ng’ombe yaliyoganda, wakaleta kwa ajili ya Daudi na kwa ajili ya watu waliokuwa pamoja naye ili wale,+ kwa maana walisema: “Watu wana njaa nao wamechoka na wana kiu nyikani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki