2 Samweli 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi. 2 Samweli 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Je, Sadoki na Abiathari, makuhani, hawako huko pamoja nawe?+ Na itatukia kwamba kila jambo ambalo huenda ukalisikia kutoka katika nyumba ya mfalme, utamwambia Sadoki na Abiathari, makuhani.+ 1 Mambo ya Nyakati 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Pia Sadoki+ kijana, shujaa mwenye nguvu, na nyumba ya mababu zake, wakuu 22.
17 Na Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
35 Je, Sadoki na Abiathari, makuhani, hawako huko pamoja nawe?+ Na itatukia kwamba kila jambo ambalo huenda ukalisikia kutoka katika nyumba ya mfalme, utamwambia Sadoki na Abiathari, makuhani.+