Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mfalme akaendelea kumwambia Sadoki kuhani: “Wewe ni mwonaji, sivyo?+ Rudi jijini kwa amani, na pia Ahimaazi mwana wako na Yonathani+ mwana wa Abiathari, wana wenu wawili, pamoja nanyi.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye Ahitubu akamzaa Sadoki;+ naye Sadoki akamzaa Ahimaazi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Sadoki+ mwana wake, Ahimaazi+ mwana wake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shausha+ alikuwa mwandishi.

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Daudi, na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari, na Ahimeleki+ kutoka kwa wana wa Ithamari wakawafanya wawe migawanyo kwa ajili ya cheo chao katika utumishi wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki