27 Na mfalme akaendelea kumwambia Sadoki kuhani: “Wewe ni mwonaji, sivyo?+ Rudi jijini kwa amani, na pia Ahimaazi mwana wako na Yonathani+ mwana wa Abiathari, wana wenu wawili, pamoja nanyi.
3 Na Daudi, na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari, na Ahimeleki+ kutoka kwa wana wa Ithamari wakawafanya wawe migawanyo kwa ajili ya cheo chao katika utumishi wao.+