Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 24
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 24:1

Marejeo

  • +Kut 6:23
  • +Law 10:1
  • +Kut 28:1
  • +Hes 3:2

1 Mambo ya Nyakati 24:2

Marejeo

  • +Kut 6:23
  • +Hes 26:61
  • +Hes 16:39

1 Mambo ya Nyakati 24:3

Marejeo

  • +1Nya 6:8
  • +2Sa 8:17
  • +1Ko 14:33

1 Mambo ya Nyakati 24:5

Marejeo

  • +Met 16:33; 18:18; Mdo 1:26
  • +Mt 26:3

1 Mambo ya Nyakati 24:6

Marejeo

  • +1Fa 4:3; 2Nya 34:13
  • +1Fa 2:35
  • +2Sa 8:17
  • +2Sa 19:11; 1Fa 1:7
  • +1Nya 23:24
  • +Law 10:12; Hes 16:39
  • +1Nya 6:3

1 Mambo ya Nyakati 24:7

Marejeo

  • +Ne 11:10

1 Mambo ya Nyakati 24:10

Marejeo

  • +Lu 1:5

1 Mambo ya Nyakati 24:19

Marejeo

  • +1Nya 9:25; 2Nya 23:18
  • +Lu 1:8, 23
  • +2Fa 11:9; 1Ko 14:40

1 Mambo ya Nyakati 24:20

Marejeo

  • +Kut 6:18
  • +1Nya 23:16; 26:24

1 Mambo ya Nyakati 24:21

Marejeo

  • +1Nya 23:17

1 Mambo ya Nyakati 24:22

Marejeo

  • +Hes 3:27
  • +1Nya 23:18

1 Mambo ya Nyakati 24:23

Marejeo

  • +Hes 26:58; 1Nya 15:9
  • +1Nya 23:19; 26:31

1 Mambo ya Nyakati 24:24

Marejeo

  • +1Nya 23:20

1 Mambo ya Nyakati 24:26

Marejeo

  • +Mwa 46:11; Kut 6:19
  • +1Nya 6:19
  • +1Nya 23:21

1 Mambo ya Nyakati 24:28

Marejeo

  • +1Nya 23:22

1 Mambo ya Nyakati 24:30

Marejeo

  • +1Nya 6:47
  • +1Nya 23:23
  • +1Nya 23:11

1 Mambo ya Nyakati 24:31

Marejeo

  • +Yos 18:10; 1Nya 25:8; Met 16:33; Mdo 1:26
  • +1Nya 26:13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 24:1Kut 6:23
1 Nya. 24:1Law 10:1
1 Nya. 24:1Kut 28:1
1 Nya. 24:1Hes 3:2
1 Nya. 24:2Kut 6:23
1 Nya. 24:2Hes 26:61
1 Nya. 24:2Hes 16:39
1 Nya. 24:31Nya 6:8
1 Nya. 24:32Sa 8:17
1 Nya. 24:31Ko 14:33
1 Nya. 24:5Met 16:33; 18:18; Mdo 1:26
1 Nya. 24:5Mt 26:3
1 Nya. 24:61Fa 4:3; 2Nya 34:13
1 Nya. 24:61Fa 2:35
1 Nya. 24:62Sa 8:17
1 Nya. 24:62Sa 19:11; 1Fa 1:7
1 Nya. 24:61Nya 23:24
1 Nya. 24:6Law 10:12; Hes 16:39
1 Nya. 24:61Nya 6:3
1 Nya. 24:7Ne 11:10
1 Nya. 24:10Lu 1:5
1 Nya. 24:191Nya 9:25; 2Nya 23:18
1 Nya. 24:19Lu 1:8, 23
1 Nya. 24:192Fa 11:9; 1Ko 14:40
1 Nya. 24:20Kut 6:18
1 Nya. 24:201Nya 23:16; 26:24
1 Nya. 24:211Nya 23:17
1 Nya. 24:22Hes 3:27
1 Nya. 24:221Nya 23:18
1 Nya. 24:23Hes 26:58; 1Nya 15:9
1 Nya. 24:231Nya 23:19; 26:31
1 Nya. 24:241Nya 23:20
1 Nya. 24:26Mwa 46:11; Kut 6:19
1 Nya. 24:261Nya 6:19
1 Nya. 24:261Nya 23:21
1 Nya. 24:281Nya 23:22
1 Nya. 24:301Nya 6:47
1 Nya. 24:301Nya 23:23
1 Nya. 24:301Nya 23:11
1 Nya. 24:31Yos 18:10; 1Nya 25:8; Met 16:33; Mdo 1:26
1 Nya. 24:311Nya 26:13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 24:1-31

1 Mambo ya Nyakati

24 Basi wana wa Haruni walikuwa na migawanyo yao. Wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+ 2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu+ walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote, bali Eleazari+ na Ithamari wakaendelea kuwa makuhani. 3 Na Daudi, na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari, na Ahimeleki+ kutoka kwa wana wa Ithamari wakawafanya wawe migawanyo kwa ajili ya cheo chao katika utumishi wao.+ 4 Lakini wana wa Eleazari wakaonekana kuwa na wanaume wengi waliokuwa vichwa kuliko wana wa Ithamari. Basi wakawagawa kwa wana wa Eleazari, wawe vichwa vya nyumba za ukoo wao wa upande wa baba, kumi na sita, na kwa wana wa Ithamari, wawe vichwa vya nyumba zao za ukoo wa upande wa baba, wanane.

5 Tena, wakawagawa kwa kura,+ hawa pamoja na wale, kwa maana kulipaswa kuwa na wakuu wa mahali patakatifu+ na wakuu wa Mungu wa kweli kutoka kwa wana wa Eleazari na kutoka kwa wana wa Ithamari. 6 Ndipo Shemaya mwana wa Nethaneli mwandishi+ wa Walawi akawaandika mbele ya mfalme na wakuu na Sadoki+ kuhani na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari+ na vichwa vya baba za makuhani na vya Walawi,+ nyumba moja ya ukoo wa upande wa baba ikichaguliwa kwa ajili ya Eleazari+ na moja ikichaguliwa kwa ajili ya Ithamari.+

7 Na kura ikatoka: ya kwanza ya Yehoyaribu;+ ya pili ya Yedaya, 8 ya 3 ya Harimu, ya 4 ya Seorimu, 9 ya 5 ya Malkiya, ya 6 ya Miyamini, 10 ya 7 ya Hakozi, ya 8 ya Abiya,+ 11 ya 9 ya Yeshua, ya 10 ya Shekania, 12 ya 11 ya Eliashibu, ya 12 ya Yakimu, 13 ya 13 ya Hupa, ya 14 ya Yeshebeabu, 14 ya 15 ya Bilga, ya 16 ya Imeri, 15 ya 17 ya Heziri, ya 18 ya Hapisesi, 16 ya 19 ya Pethahia, ya 20 ya Yehezkeli, 17 ya 21 ya Yakini, ya 22 ya Gamuli, 18 ya 23 ya Delaya, ya 24 ya Maazia.

19 Hivi ndivyo vilivyokuwa vyeo+ vyao kwa ajili ya utumishi wao,+ kuingia katika nyumba ya Yehova kulingana na haki yao+ inayostahiliwa kwa mkono wa Haruni babu yao, kama vile Yehova, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.

20 Na wa wana wa Lawi waliobaki, wa wana wa Amramu+ kulikuwa na Shubaeli;+ wa wana wa Shubaeli, Yehdeya; 21 wa Rehabia:+ wa wana wa Rehabia, Ishia akiwa kichwa; 22 wa Waishari,+ Shelomothi;+ wa wana wa Shelomothi, Yahathi; 23 na wana wa Hebroni,+ Yeria+ akiwa kichwa, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne. 24 Wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika,+ Shamiri. 25 Ndugu ya Mika alikuwa Ishia; wa wana wa Ishia, Zekaria.

26 Wana wa Merari+ walikuwa Mali+ na Mushi;+ wana wa Yaazia, Beno. 27 Wana wa Merari: Wa Yaazia, Beno na Shohamu na Zakuri na Ibri. 28 Wa Mali, Eleazari, ambaye hakupata wana wowote.+ 29 Wa Kishi: wana wa Kishi walikuwa Yerahmeeli. 30 Na wana wa Mushi walikuwa Mali+ na Ederi na Yerimothi.+

Hao ndio waliokuwa wana wa Walawi kulingana na nyumba za ukoo wa upande wa baba+ zao. 31 Nao wenyewe pia wakapiga kura+ sawasawa na walivyofanya ndugu zao wana wa Haruni mbele ya Daudi mfalme, na Sadoki na Ahimeleki na vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba vya makuhani na vya Walawi. Na kwa habari ya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ aliye kichwa alikuwa sawasawa na ndugu yake mdogo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki