Yoshua 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ndipo Yoshua akapiga kura kwa ajili yao katika Shilo mbele za Yehova.+ Basi Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli nchi katika mafungu yao.+ 1 Mambo ya Nyakati 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wakapiga kura+ kuhusu vitu vinavyopaswa kutunzwa, mdogo akiwa sawasawa na mkubwa,+ mwenye ujuzi+ pamoja na mwenye kujifunza. Methali 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. + Matendo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo wakawapigia kura,+ na kura ikamwangukia Mathia; naye akahesabiwa pamoja na wale mitume kumi na mmoja.+
10 ndipo Yoshua akapiga kura kwa ajili yao katika Shilo mbele za Yehova.+ Basi Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli nchi katika mafungu yao.+
8 Basi wakapiga kura+ kuhusu vitu vinavyopaswa kutunzwa, mdogo akiwa sawasawa na mkubwa,+ mwenye ujuzi+ pamoja na mwenye kujifunza.
33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +
26 Kwa hiyo wakawapigia kura,+ na kura ikamwangukia Mathia; naye akahesabiwa pamoja na wale mitume kumi na mmoja.+