Hesabu 26:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Nchi itagawanywa kwa kura+ tu. Kulingana na majina ya makabila ya baba zao watapata urithi. Yoshua 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ndipo Yoshua akapiga kura kwa ajili yao katika Shilo mbele za Yehova.+ Basi Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli nchi katika mafungu yao.+ Methali 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kura hutuliza hata magomvi,+ nayo huwatenganisha hata watu wenye nguvu.+ Matendo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo wakawapigia kura,+ na kura ikamwangukia Mathia; naye akahesabiwa pamoja na wale mitume kumi na mmoja.+
10 ndipo Yoshua akapiga kura kwa ajili yao katika Shilo mbele za Yehova.+ Basi Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli nchi katika mafungu yao.+
26 Kwa hiyo wakawapigia kura,+ na kura ikamwangukia Mathia; naye akahesabiwa pamoja na wale mitume kumi na mmoja.+