Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Urithi wao ulikuwa kwa kura,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru yale makabila tisa na ile nusu ya kabila kupitia kwa Musa.+

  • 1 Samweli 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha akafanya kabila la Benyamini likaribie kulingana na familia zao, ndipo familia ya Wamatri ikachaguliwa.+ Mwishowe Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa.+ Nao wakamtafuta, lakini hakupatikana.

  • Nehemia 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi wakuu+ wa watu walikuwa na makao yao katika Yerusalemu;+ lakini wale watu wengine walipiga kura+ kuleta ndani mtu mmoja kati ya watu kumi ili waishi Yerusalemu lile jiji takatifu,+ na wale watu wengine, sehemu tisa, waishi katika yale majiji mengine.

  • Methali 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki