Nehemia 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walawi wote katika jiji takatifu+ walikuwa 284. Isaya 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana wamejiita kuwa wametoka katika jiji takatifu,+ nao wamejitegemeza juu ya Mungu wa Israeli,+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+ Mathayo 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo Ibilisi akamchukua, akaenda pamoja naye, na kuingia katika lile jiji takatifu,+ naye akamsimamisha juu ya mnara wa hekalu
2 Kwa maana wamejiita kuwa wametoka katika jiji takatifu,+ nao wamejitegemeza juu ya Mungu wa Israeli,+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+
5 Ndipo Ibilisi akamchukua, akaenda pamoja naye, na kuingia katika lile jiji takatifu,+ naye akamsimamisha juu ya mnara wa hekalu