Waamuzi 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Mika akasema: “Sasa najua kwamba Yehova atanitendea mema, kwa maana Mlawi amekuwa kuhani kwangu.”+ Yeremia 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Tafadhali muulize Yehova+ kwa ajili yetu, kwa sababu Nebukadreza mfalme wa Babiloni anapiga vita juu yetu.+ Labda Yehova atatutendea kulingana na kazi zake zote za ajabu, hivi kwamba yeye aondoke kwetu.”+ Waroma 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa, ikiwa wewe ni Myahudi kwa jina+ na unategemea sheria+ na kujivunia Mungu,+
13 Basi Mika akasema: “Sasa najua kwamba Yehova atanitendea mema, kwa maana Mlawi amekuwa kuhani kwangu.”+
2 “Tafadhali muulize Yehova+ kwa ajili yetu, kwa sababu Nebukadreza mfalme wa Babiloni anapiga vita juu yetu.+ Labda Yehova atatutendea kulingana na kazi zake zote za ajabu, hivi kwamba yeye aondoke kwetu.”+