Yeremia 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Tafadhali mwombe Yehova ushauri kwa ajili yetu, kwa sababu Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni anapigana vita dhidi yetu.+ Labda Yehova atatutendea mojawapo ya matendo yake yanayostaajabisha, ili mfalme huyo atuache na kwenda zake.”+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 21:2 jr 56 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:2 Yeremia, kur. 55-56
2 “Tafadhali mwombe Yehova ushauri kwa ajili yetu, kwa sababu Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni anapigana vita dhidi yetu.+ Labda Yehova atatutendea mojawapo ya matendo yake yanayostaajabisha, ili mfalme huyo atuache na kwenda zake.”+