Methali 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna njia ambayo imenyooka mbele ya mwanadamu,+ lakini njia za kifo ndizo mwisho wake baadaye.+ Isaya 44:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anajilisha majivu.+ Moyo wake ambao umedanganywa umempotosha.+ Naye haikomboi nafsi yake, wala hasemi: “Je, hamna uwongo katika mkono wangu wa kuume?”+ Mathayo 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wao huniabudu bure, kwa sababu wao hufundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’ ”+
20 Anajilisha majivu.+ Moyo wake ambao umedanganywa umempotosha.+ Naye haikomboi nafsi yake, wala hasemi: “Je, hamna uwongo katika mkono wangu wa kuume?”+