Methali 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kuna njia ambayo imenyooka mbele ya mwanadamu,+ lakini njia za kifo ndizo mwisho wake baadaye.+ Waroma 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+
21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+