Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ikawa kwamba Samweli alipokuwa akitoa lile toleo la kuteketezwa, Wafilisti wakasonga karibu ili kupigana na Israeli. Na huko Yehova akafanya kuwe na mngurumo wa sauti kubwa+ siku hiyo juu ya Wafilisti, ili awavuruge;+ nao wakashindwa mbele ya Israeli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Asa akaanza kumwita Yehova Mungu+ wake, na kusema: “Ee Yehova, kwa habari ya kusaidia, si kitu kwako kama kuna wengi au wale wasio na nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana sisi tunakuegemea wewe,+ nasi kwa jina lako+ tumekuja kupigana na umati huu. Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu.+ Usiache mwanadamu anayeweza kufa apate nguvu juu yako.”+

  • Zaburi 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,

      Mababu zetu wenyewe wametusimulia+

      Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+

      Siku za zamani za kale.+

  • Zaburi 105:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kumbukeni kazi zake za ajabu ambazo amefanya,+

      Miujiza yake na maamuzi ya hukumu ya kinywa chake,+

  • Isaya 37:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi Senakeribu+ mfalme wa Ashuru akaondoka, akaenda, akarudi,+ akaanza kukaa katika Ninawi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki