1 Samweli 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Samweli alipokuwa akitoa dhabihu hiyo ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Waisraeli. Basi siku hiyo Yehova akawaletea Wafilisti mngurumo mkubwa sana,+ Naye akawavuruga,+ wakashindwa mbele ya Waisraeli.+ 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:10 w11 1/1 25 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:10 Igeni, uku. 70 Mnara wa Mlinzi,1/1/2011, uku. 25
10 Samweli alipokuwa akitoa dhabihu hiyo ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Waisraeli. Basi siku hiyo Yehova akawaletea Wafilisti mngurumo mkubwa sana,+ Naye akawavuruga,+ wakashindwa mbele ya Waisraeli.+