1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova atawavunjavunja wale wanaopigana naye;*+Atanguruma dhidi yao kutoka mbinguni.+ Yehova atahukumu mpaka miisho ya dunia,+Atampa nguvu mfalme wake,+Na kuikweza pembe ya* mtiwa-mafuta wake.”+ 2 Samweli 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Yehova akaanza kunguruma kutoka mbinguni;+Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike.+
10 Yehova atawavunjavunja wale wanaopigana naye;*+Atanguruma dhidi yao kutoka mbinguni.+ Yehova atahukumu mpaka miisho ya dunia,+Atampa nguvu mfalme wake,+Na kuikweza pembe ya* mtiwa-mafuta wake.”+