Kutoka 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Asubuhi, siku ya tatu, kulikuwa na ngurumo na radi, na kulikuwa na wingu zito+ mlimani na sauti kubwa sana ya pembe, na watu wote kambini wakaanza kutetemeka.+ 1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova atawavunjavunja wale wanaopigana naye;*+Atanguruma dhidi yao kutoka mbinguni.+ Yehova atahukumu mpaka miisho ya dunia,+Atampa nguvu mfalme wake,+Na kuikweza pembe ya* mtiwa-mafuta wake.”+
16 Asubuhi, siku ya tatu, kulikuwa na ngurumo na radi, na kulikuwa na wingu zito+ mlimani na sauti kubwa sana ya pembe, na watu wote kambini wakaanza kutetemeka.+
10 Yehova atawavunjavunja wale wanaopigana naye;*+Atanguruma dhidi yao kutoka mbinguni.+ Yehova atahukumu mpaka miisho ya dunia,+Atampa nguvu mfalme wake,+Na kuikweza pembe ya* mtiwa-mafuta wake.”+