Kumbukumbu la Torati 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Basi mlikaribia na kusimama chini ya mlima, na mlima huo ulikuwa ukiwaka moto uliofika mpaka mbinguni; kulikuwa na giza, wingu, na utusitusi mzito.+ 1 Wafalme 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo Sulemani akasema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+
11 “Basi mlikaribia na kusimama chini ya mlima, na mlima huo ulikuwa ukiwaka moto uliofika mpaka mbinguni; kulikuwa na giza, wingu, na utusitusi mzito.+